Kamati ya Bajeti yaishauri Serikali kujitathmini ulipaji Madeni

By Sharon Sauwa, Mwananchi ssauwa@mwananchi.co.tz  Tuesday, November 6, 2018 Dodoma. Kamati ya Bunge ya Bajeti imeishauri Serikali kujipima na kuweka ukomo kwenye uwiano wa ulipaji wa deni la Serikali na mapato ya ndani ili kuona athari yake kiuchumi na kibajeti. Kauli hiyo imetolewa leo Jumanne Bungeni Novemba 6, 2018 na mwenyekiti wa kamati hiyo, George Simbachawene wakati […]

Serikali yahakiki deni la Trilioni 2 mifuko ya jamii

Friday, May 4, 2018 By Habel Chidawali, Mwananchi hchidawali@mwananchi.co.tz Kwa ufupi Uhakiki wa deni la mifuko hiyo ulifanyika mwaka 2016 na Serikali ilianza kulipa kwa kutumia hati fungani zinazotarajia kuiva kati ya miaka mitatu (3) Dodoma. Jumla ya deni lililowasilishwa serikalini kwa ajili ya uhakiki kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii hadi mwaka 2016 ni Sh […]

Deni la Taifa sasa ni Sh47.7 trilioni (Imechapishwa na gazeti la Mwananchi March 13, 2018)

Deni la nje ni Sh34.148 trilioni sawa na asilimia 71.5, deni la ndani lilikuwa Sh13.607 trilioni sawa na asilimia 28.5.   By Sharon Sauwa, Mwananchi ssauwa@mwananchi.co.tz Dodoma. Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Philip Mpango amesema hadi Desemba 2017, deni la Taifa lilikuwa limefikia Sh47.756 trilioni na tathmini zinaonyesha bado ni himilivu. Akiwasilisha mapendekezo ya […]

Kila Mtanzania sasa adaiwa milioni moja

Raia Mwema (Mwandishi Wetu) Toleo la 463 22 Jun 2016   DENI la Taifa limepaa na kufikia dola za Marekani bilioni 20.5 (Shilingi trilioni 44.7) hadi kufikia mwezi Aprili mwaka huu, kutoka dola bilioni 19.1 (Shilingi trilioni 38) mwezi Juni, mwaka jana. Kwa kiasi hicho cha fedha, kama utagawanya deni hilo kwa idadi ya Watanzania […]

CSOs Stakeholders Meeting on Global Partnership for Effective Development Co-operation

  Tanzania Coalition on Debt and Development (TCDD) organizes CSOs stakeholders meeting in Dar es Salaam on 9th March 2016 to discuss on Global Partnership for Effective Development Co-operation Second Round Monitoring in Tanzania. The monitoring exercise is grounded at the developing country level; data is collected under the leadership of developing country governments. The […]

Global Partnership for Effective Development Co-operation Second Monitoring 2016

The Global Partnership for Effective Development Co-operation was established at the Fourth High-Level Forum on Aid Effectiveness in Busan, in 2011 agreed in June 2012. It is an inclusive political forum bringing together governments, bilateral and multilateral organizations, civil society and representatives from parliaments, local governments, foundations and the private sector from around the world […]